Saturday, August 28, 2010

Marafiki huru ndani ya kituo cha yatima-Arusha

Marafiki huru wakipokea maelezo kutoka kwa Mlezi wa kituo

Marafiki huru wakiwasili kituo cha watoto yatima ya samaritan Arusha

Marafiki  huru God,Tumaini,Frank na Raphael wakipata chai kabla ya kwenda kwenye kituo cha watoto yatima


Rafiki huru Neema akiw na Mtoto yatima Jeremiah wa samaritan orphanage centre Arusha
Rafiki huru  Frank  Nsangarufu





No comments: