Saturday, August 28, 2010

MH WAKIWA BEACH

Mara baada ya Marafiki Huru kutoka kwenye kambi Ya Nunge wakaelekea Beach kwa ajili ya Chakula Cha Mchana, hii group walikuwa wanajiita Chipsi Huru, kutoka kushoto ni Protace, Harry,Eliza,Doric,Marcee,Clara,Miembe na Mwombeki
Mwenye Tshirt ya rangi ya Orange ni Rafiki Huru Hudson Kamoga, mwenye mpira ni Irene Lyatuu, kwa nyuma ni Easter na Milembe hapa marafiki huru wakicheza mpira wa Miguu Baharini...Its was awesome mtu wangu
Hawa walikuwa wanajiita Next Level wakati Marafiki Huru walipokuwa wakifanya games huko beach Kigamboni, Kushoto ni Irene, mwenye kuonekana kwa nyuma ni Abigaili, aliyezibwa ni alan, mwenye shati nyeupe ni Nelson, kisha Blandina, Anna na wa mbele ni kiongozi wao Edna

No comments: