Saturday, August 28, 2010

MH WALIPOTEMBELEA KAMBI YA WAKOMA KIGAMBONI

Hapa Marafiki Huru walisimamisha Magari kwa ajili ya kupumzika kabla hawajafika Nunge kwenye Kituo walichoenda kutoa misaada, mwenye vuvuzela ni Mratibu wa Safari Protace, Mdada mwenye Suruali ya Kaki ni Anna, Mke wa Protace, Next ni Joseph, then Irene Lyatuu, kwa nyuma mwenye Tshirt Nyekundu ni Clara na mwisho ni Dorcas
Hii ni timu nzima ya Marafiki Huru waliokwenda Kwenye Kambi Ya Wazee na Wenye Ukoma KUle Nunge, Mwombeki anaonekana akijipunguzia urefu uwe kama wa Papaa ili asije akakosewa kupigwa picha kama mpigaji angepiga sinze Ya Papaa, hivi ni baaadhi ya vitu Marafiki Huru walivyovipeleka Kigamboni
Hapa Marafiki Huru wakiwa na watoto walio katika Kambi hiyo Huko Nunge


No comments: