Monday, August 30, 2010

Think Differently,Make a Difference



“Think Differently, Make a Difference” Tunaamini Marafiki Huru tuna mawazo Mbadala kwenye Taifa letu, Makanisani Mwetu, Maofisini mwetu, kwenye Familia Zetu hasa katika Jamii inayotuzunguka. We Think Differently and we Make Differences.
Ndo maana tunaamini tunaweza kujenga shule kupitia Watanzania, Tunaamini tunaweza kujenga visima kupitia Watanzania, Tunaamini Maendeleo ya Watanzania yanaletwa na Watanzania na Si vinginevyo. Kwa kushirikiana na Serikali na Kanisa tunabainisha Fursa zilizopo kwenye Taifa letu. We believe Together We Can. Think differently and Make a Difference.
..//Papaa

1 comment:

Anonymous said...

This is fantastic guys, nawapa Big Up

Mack P.