Friday, September 3, 2010

JUANITA KUTOA ALBUM YA MAISHA YAKE

Yule mwinjilisti maarufu na muumbaji   Rev. Juanita Bynum is not finished sharing her story and hopes to inspire others.
Bynum, who lives in metro Atlanta, recently signed with the Houston-based World Music Entertainment empire, headed by Mathew Knowles.
Her new album, “The Diary of Juanita Bynum” is scheduled for release in 2011. She said the trilogy project is not going to be just “another CD, but it’s going to be a message and the story of my heart and my diary.”
Hii album  itakuwa inaelezea maisha yake…magumu aliyopitia baada ya kuachwa BAADA ya  kupigwa mbele za watu na mume wake BISHOP THOMAS W. WEEKS III mwaka 2007
 

2 comments:

Papaa said...

Dhu hivi kuachana imo kwa wapendwaaa?

Mary Damian said...

KUACHANA...Hapo Ndo Nachoka!!..Nampenda Huyu Mama!