Tuesday, September 7, 2010

Rafiki Huru Papaa On Tuesday.....Is Not Linking But Its Links Sometimes.

Marafiki Huru natumai tuko njema tukijiandaa na Siku Ya Marafiki Huru hapo Jumamosi. Najua pressure inapanda Pressure inashuka.

Nianze kwa kusema kuna matukio mengi sana yaonayoendelea katika maisha yetu kwa kuyafanya ama kufanyishwa au kufanyisha tukudhani hayana uhusiano na sisi kwenye maisha yetu ukweli ni kwamba yanauhusiano mkubwa sana kwa jicho la karibu as if they are not linking, the fact ni kwamba yana link.

Wiki chache zilizopita tuliona Past inavyoletwa mbele ya maisha yako ya sasa na unatumia muda mwingi ku deal na past stories kuliko present na future, tazama Dr. Slaa suala la ndoa na Upadri ambavyo limeshikiwa bango he thought is not linking but its links, tangu Makamba atishiwe kusemwa hadharani kwanini alifukuzwa ualimu amekuwa na adabu amegundua kuna link na ulaji wake CCM.

Kuna mambo mengi sana tunadhani yanatokea kwenye maisha yetu by chance na tukaamua kuyapotezea lakini the fact is kuna link kubwa ya matukio ya maisha yetu ya nyuma ya sasa na wakati ujao. Wote tunatambua story ya Yusuph na ndugu zake matukio yoteeeee ukiyatazama ni kama hayana link na future yake lakini ndo scenario nzima mpaka anakuja kuwa waziri mkuu from gerezani as if is not linking but it links mtu wangu. Kaa dakika mbili think of yourself where you came from watu uliokuwa nao na kusoma nao, angalia ulikopita huwezi jua kama kuna link na future yako but I tell you there is a link.

Mimi leo nisingesoma Mzumbe ukweli idea ya Marafiki Huru isingekuwepo mpaka ikawa hivi, Kama sio Mzumbe ningemjulia wapi Protace, kama sio kuwepo Magomeni ningemjulia wapi Blandina, Kama Sio VCC ningemjulia wapi Mwombeki, Kama sio Kambi ya watoto wa Wachungaji ningemjulia Prosper Mwakitalima, Kama Sio Mgisa ningemjulia wapi Irene Lyatuu, Kama sio Rapha Kwenda anzisha fellowship angempata wapi Mkewe, kama Sio Facebook ningekutana wapi na Nietiwe, kam Sio Keziah tungempata wapi Mzee wa Uchakachuaji, Kama sio sisi wote kuwepo marafiki tungeipata wapi Marafiki Huru, Kama sio Poul Makonda ningempata wapi Edna Sichwale na Lucy Kayombo, Kama Sio Godwin Roman na Mongi ningeingiaje CU, kama sio Addo kumpisha Chen lei na kupata ajali tungepataje ushuhuda wa Addo na Mchina, these things we think they don’t link with our lives the fact is kuna li-link.

Ask yourself mara ngapi mambo mengi yanatokea kwako ndo unakuja realize kuna connection, huwezi Jua Mungu anataka Marafiki Huru Ifike wapi but there must be a link and connection with our future. Waza mwenyewe namna ulivyojiunga na kanisa ulilosali, waza namna ulivyopata kazi, waza namna ulivyompata mume au mkeo, waza namna ulivyopata nyumba unayokaa, kuna link kubwa sana, ninachotaka kukuthibitishia it doesn’t matter what are you passing though, the best is yet to come, ukitazama ulivyo sasa na ulikotoka as if there is no link but ipo, maisha ni ups and down getting and loosing, our future is already designed. Kuna watu wanakuja kwenye maisha yetu wanatuuuuuuuumizaaaaaaaaaaaaa, but good enough they are just part of our future. Usitazame kidole kinachoonesha mwezi utazame mwezi wenyewe.

Nimejifunza kujisikia vibaya pia ni sehemu ya maisha, usijisikie vibaya kujisikia vibaya, there other times I feel lonely and alone, lakini kuna neno huwa nalitumiaga na Protace tangu tukiwa mwaka wa kwanza chuoni, Hili nalo Litapita, nakumbuka kulikuwa na hard times kwenye maisha yetu ya chuo, tulikuwa mpaka kuna majira ya kukusanya na kupotezea, nakumbuka Protace alilazwaaaa hahahah Jamani Mapenzi balaaaaa yaani unapenda mpaka unalazwa dhuuu, na tulipobaki wawili tu tukiwa tunaongea tunakuliza kwanini hili limetokea, then tukasema “Hili Nalo Litapita”. Some other times Mungu anawaondoa people we loved them very much yaani kama nilivyompendaga naniiiiiii, lakini we see kama ulimwengu wote umekwisha, unawazaaaaaaa hupati majibu, ukweli ni kwamba its just a Season, huwezi kupotezea siku zote, there is a time you will get what you want. Hahahahah we better loose Helen and Getting Anna, kama sio Mate wa Irene Lyatuu Kumwaga Naniii, Glory angepatikana wapi?
Nimalize kwa kusema historia inaweza kuandikwa kwa dakika moja na isifutike milele na unaweza dhani is not linking but it links someday somewhere. Huwezi kuwa na hali zote siku zote, huwezi kuwa na furaha siku zote, usijisikie vibaya kujisikia vibaya, kupata na kukosa vyote kwenye maisha vipo, huwezi kupata milele kuna siku utapoteza, huwezi kuwa nafuraha kuna siku watu watakuboa, huwezi kufurahishwa na MH siku zote, lakini hakuna anayeweza kudumu kwenye hali moja siku zote, kila linalotokea katika maisha “Jua Nalo Litapita”

If two people always agree on everything, then one of those people is probably not needed…..Is not linking But It Links.
…//Papaa

1 comment:

Mindset Upgrade said...

HII NI POWERFULLY SANA PAPAA, INANIKUMBUSHA MBALI TULIKOTOKA KULIKO TUNAKOENDA