Wednesday, September 1, 2010

REBEKA KUZINDUA ALBUM JUMAPLI

Muimbaji wa nyimbo za injili kutoka kwaya ya Kindondoni Revival anajulikana sasa kwa jina la Rebecca Lukule Nzelwa sasa anakuja na album yake binafsi mbali na kundi la kwaya anayoimba.

Album ni ya kumrudishia Mungu sifa na shukrani, inaitwa MUNGU NAKUSHUKURU WEWE NI MTETEZI WANGU ina jumla ya nyimbo 8, na itawekwa Wakfu Siku Ya tarehe 5 September 2010, Kanisani kwao Kinondoni Revival Church.

No comments: