Wednesday, September 1, 2010

MH LWENDO NA MSEGU NDANI CASUAL WEAR SUNDAY

Msegu akiimba kwa hisia
 Katika kuumalizia mwezi wa kusifu na kuabudu mwaka huu, Calvary temple   ya Arusah jumapili iliyopita kulikuwa na  na ibada ya kusifu na kuabudu na  mavazi yalikuwa  casual wear  ili kuwakaribisha wale ambao wangetamani kuja kanisani lakini wanafikiri kanisani ni sehemu ya mavazi maalum!!rafiki huru Msegu alikuwepo kwenye safu ya kuongoza nyimbo na Godlove Lwendo alikuwa kwenye Gitaa
Msegu ya pili kulia

No comments: