Msegu akiimba kwa hisia |
Katika kuumalizia mwezi wa kusifu na kuabudu mwaka huu, Calvary temple ya Arusah jumapili iliyopita kulikuwa na na ibada ya kusifu na kuabudu na mavazi yalikuwa casual wear ili kuwakaribisha wale ambao wangetamani kuja kanisani lakini wanafikiri kanisani ni sehemu ya mavazi maalum!!rafiki huru Msegu alikuwepo kwenye safu ya kuongoza nyimbo na Godlove Lwendo alikuwa kwenye Gitaa
Msegu ya pili kulia |
No comments:
Post a Comment