Monday, September 6, 2010

WANAFUNZI WANYIMWA UHURU WA KUABUDU



msikiti wa alzahra ndani ya chuo kikuu zanzibar
 Chuo kikuu cha Zanzuibar(Zanzibar University) chavyunja katiba ya zanzibar kwa kuwanjima uhuru wa kuabudu wafunzi wa kikirsto wa  chuo kikuu cha Zanzibar…katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kipengele cha 19(1) na 20(1) ….na kile cha katiba ya Tanzania 1977 kipengele cha  19(1) na 20 (1)…
Mwaka jana  28 december  makamu wa rais wa chuo cha zanzibar alipiga  maarufu mkusanyiko wowote wa kikirsto ndani ya maeneo ya chuo…wakati huohuo kukiwa na misikiti miwili hapo chuoni
Hili limepelekea kukamatwa kwa muunjilisti Peter Masanja mwezi iliyopita mwaka huu…masanja ambaye alipotea ghafla..iligundulika amekamatwa baada ya mkewe kumtafuta kwa siku kadhaa..masanja ambaye ni mkazi paje wa Zanzibar alikamatwa  kwa kosa la kufundisha mwafunzi wa kikirsto chuoni wapo
Wanafunzi wa kikirsto wana mpango wa kwenda mahakamani kupinga kunyimwa uhuru wa kuabudu..Chuo hicho kimewatishia kuwafukuza wasichana wa kikirsto kama hawatavaa hijabu


1 comment:

Anonymous said...

Bwana Yesu asifiwe!

Please, je kuna mtu yeyeyote anayeweza kutujulisha kama Peter Masanja ameachiwa huru?

Nitapenda kufahamishwa kwa savedlema2 at yahoo dot com

Blessings to you.